Error message

  • Deprecated function: Optional parameter $type declared before required parameter $key is implicitly treated as a required parameter in include_once() (line 1439 of /home/masanche/public_html/p/wamir/includes/bootstrap.inc).
  • Deprecated function: Optional parameter $input declared before required parameter $form_state is implicitly treated as a required parameter in require_once() (line 8 of /home/masanche/public_html/p/wamir/sites/all/modules/multiupload_filefield_widget/multiupload_filefield_widget.module).
  • Deprecated function: Optional parameter $item declared before required parameter $complete_form is implicitly treated as a required parameter in include_once() (line 1439 of /home/masanche/public_html/p/wamir/includes/bootstrap.inc).

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametembelea Banda la Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu kwenye maonesho ya Wiki ya Mazingira Duniani ambayo kilele chake ni leo Juni 05,2021, ambapo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Phillip Mpango ndio alifunga maonesho hayo katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Dodoma.  Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imeshiriki Wiki ya Mazingira Duniani, kwa kutoa elimu ya utunzaji wa Rasilimali za Maji